Song of Solomon 6:2-3


2 aMpenzi wangu amekwenda bustanini mwake,
kwenye vitalu vya vikolezo,
kujilisha bustanini
na kukusanya yungiyungi.

3 bMimi ni wake mpenzi wangu,
na mpenzi wangu ni wangu;
yeye hujilisha katikati ya yungiyungi.

Shairi La Tano

Mpenzi

Copyright information for SwhKC